Jumapili 28 Juni 2026 - 10:45
Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha

Hawza/ Katika kuhuisha kumbukumbu ya shahada ya Imam Hussein (as) na mashujaa wa Karbala, waumini wa Ahlul-Bayt (as) jijini Morogoro wamekusanyika kwa wingi kushiriki majlisi za maombolezo na matembezi makubwa ya Ashura 1448 Hijria, yaliyotawaliwa na hali ya huzuni, tafakuri na mshikamano.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, mamia ya waumini wa Ahlul-Bayt (as), wakiwemo wanawake, wanaume na vijana kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro, walishiriki katika shughuli hizo za Ashura zilizojumuisha majlisi za maombolezo, matembezi ya amani na usomaji wa marsiya. Washiriki walionesha kuendelea kuhuisha ujumbe wa Imam Hussein (as) wa kusimama kidete dhidi ya dhuluma, kutetea haki na kuimarisha umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu na jamii kwa ujumla.

Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha
Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha
Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha Mashia wa Morogoro Wamuitikia Imam Hussein (as); Wafanya Majlisi na Matembezi Makubwa + Picha

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha